D’Banj akanusha kumtimua Totoh Dikeh.
Pamekuwa na uvummi kuhusu msanii wa D’ Banj maarufu kama Totoh Dikeh kutimuliwa kwenye lebel ya D’ Banj hivi karibuni.
D’ banj anasema “Totoh ni msanii mkubwa nayaeweza kujiendesha amwenye ila pia kwa sasa analea sababu amejifungua hivi karibuni na yupo na mume wake ndio sababu ya ukimya wake”.
Maoni
Chapisha Maoni