HAYA NDO YALIKUWA MALENGO VICTORIA KIMANI
Mwimbaji kutoka Kenya anayefanya kazi zake za muziki Nigeria Victori
Kimani amesema lengo la kujiunga na lebel ya Nigeria ya Chocolate City
ni kuteka mashabiki zaidi Afrika.
Victoria anasema “Wakati najiunga na Chocolate City walikuwa na ofisi zao Kenya na lengo lao lilikuwa kutangaza wasanii Afrika nzima na sio nchi moja tu, ndio maana nilipenda kufanya nao kazi na wameweza kufikisha muziki wangu kwa mashabiki wengi kwenye bara la Afrika”.
Victoria anasema “Wakati najiunga na Chocolate City walikuwa na ofisi zao Kenya na lengo lao lilikuwa kutangaza wasanii Afrika nzima na sio nchi moja tu, ndio maana nilipenda kufanya nao kazi na wameweza kufikisha muziki wangu kwa mashabiki wengi kwenye bara la Afrika”.

Maoni
Chapisha Maoni