Arsenal yailaza Chelsea na kushinda kombe la FA
kikosi cha wanawake wa timu ya Arsena
Bao lililofungwa na Danielle carter
lilikisaidia kikosi cha wanawake wa timu ya Arsenal kuchukua taji la 14
la kombe la FA baada ya kutawala mechi dhidi ya Chelsea katika uwanja wa
Wembley.
Asisat Oshoal baadaye alikosa fursa tatu za wazi kuongeza ushindi huo wa Arsenal.
Fran Kirby alipoteza nafasi ya wazi ya kusawazisha kutoka upande wa Chelsea katika mechi ya fainali iliohudhuriwa na mashabiki 32,912.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alikosa mwelekeo katika kipindi cha kwanza na hivyobasi kumpatia fursa kipa sari Van Veenendaal kuokoa mikwaju yake.

Maoni
Chapisha Maoni