Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Girlfriend wa G-Nako aandika ujumbe huu mzito kumpongeza G kwenye birthday yake

Girlfriend wa G-Nako aandika ujumbe huu mzito kumpongeza G kwenye birthday yake

Maisha yangekuwa magumu sana kama wanawake wasingekuwepo maishani.
10946687_1060242750654080_1866618321_n
Yasinta Juma ni ubavu wa rapper G-Nako na hakuna ubishi kuwa ndiye sababu kubwa ya tabasamu na mkali huyo. Leo ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa, Yasinta amemuandikia ujumbe huu:

“When I met you I had no doubt in my heart that we were destined to meet and fall in love. You’re my once in a lifetime kind of love,my soulmate, mshikaji wangu,baba mwenyekiti wangu,Mr.OG wangu, baba yeyoo…… I love you, I’ll love you and choose you over and over again because you are my HAPPY ENDING,” ameandika Yasinta.

“Nimeshafika baba, kuchomoka hapa labda mtu aje aninyanyue kwa tractor/winch na hato wezaa….Na nakaba mpaka penalty namba zote nacheza. Heheheeeeee……..Happy birthday GEORGE WANGU…… UNAPENDWA SANA na namshukuru mama kwa kuniletea duniani roho yangu,Duh..nitaharibu sasa maana maneno hayaishi, be blessed always love….HAPPY BIRTHDAY MY LOVE once again.”

Happy Birthday G Warawara. Tazama zaidi picha za love birds hao.
13269527_292955677704120_356497276_n
13285464_523071624560754_1556807336_n (1)
10616340_221804624822121_287229802_n
10723682_445630592297510_1486331467_n

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.