Mauritius yaionya Uingereza kuhusu kisiwa
![]() | |
Waziri mkuu wa Mauritania Sir
Anerood Jugnauth ametishia kuishtaki Uingereza katika mahakama ya
kimataifa kuhusu haki kuhusu uhuru wa kisiwa cha Chagos.
Kisiwa hicho kilikuwa katika eneo la Mauritius hadi mwaka 1965 wakati kilipochukuliwa na Uingereza na kukifanya eneo lake.

Maoni
Chapisha Maoni