Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MIJI GHALI NA TAJIRI ZAIDI DUNIANI

Huu ni mji wa Monaco ukitaka kununua luxury property gharama yake ni $ 1 million kwa 16 square meters Monaco hiyo. Yani ukubwa wa uwanja wa tennis kwa $ 1 million, Mji huu unashika number moja dunia kwa gharama hizo.
Hong kong nako kunakaribia na ya Monaco na huko ni $ 1 million unapata square meters 19 tu kwa bei hiyo inashika number 2 kidunia.
London nako wamo usingizi kwa $ 41, 900 mpaka $ 46,300 kwa square meters 23 unaweza kujidai na kukoloma juu kiroho safi.

mambo haya hapo Geneva kunakoaminika kuwa wanene wengi wameufukia umate mate wao jiji hapa, unaweza kujipatia usingizi wako kabambe kabisa kwa $ 29, 300 mpaka $ 32,400 kwa square meters. kwaiyo mwendo wa #3 kwa ghali.

Hapa ni jiji la Paris nisawa na London bei zake zina pigani vishoka tu kwa usawa gharama zake.

Singapore nako wamo gharama za maisha kwa usingizi wako mwenyewe zinaendana na zile za Ulaya...
Hili ndiyo jiji la wasiolala duniani New York City gharama ya usingizi ndani ya jiji hili ni kuanzia $ 21,800 mpaka $24,100 kwa square meters 44. Kwa bei hii unaweza kupata usingizi wenye ukubwa huu na ukajinafasi kibarazani kwako ukiwa umekunja goti.

Hii ni Sydney mjii ni sawa na New York City bei zake ni chavu moja huku unakunja goti huku unakunyua gharama hazipishani saana, Opera House huko ndiyo habari yenyewe.

Huu Haaa za kichina hizo gharama za usingizi Shanghai ni za kichina vile vile maana .....mh...ni $19,000 mwendo wakichina china unagota kwa $21,700 na change unarudishwa kaz hiyo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.