Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MIJI GHALI ZAIDI BARANI AFRIKA

10) Abuja 
Abuja ni mji mkuu wa Nigeria. Unakadiriwa kuwa na idadi ya watu 979,876. Umejengwa miaka ya 1980. Kuhusu Abuja, siku moja Nelson Mandela alisema, “Kwa nini ujitese kutembelea Ulaya wakati vitu vyote utavikuta hapa.”

9) Conakry
Conakry ni mji mkuu wa nchi ya Guinea. 
8) Bamako 
Bamako ni mji mkuu wa Mali. Unakadiriwa kuwa na takribani watu milioni mbili.

7) Brazzaville 
Huu ni mji mkuu wa Congo. Unakadiriwa kuwa na zaidi ya watu milioni 1.3.

6) Lagos
Lagos ni mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria.

5) Kinshasa
Ni mji wenye zaidi ya watu milioni nne. Ni mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

4) Libreville
Libreville ni mji mkuu wa Gabon unaokadiriwa kuwa na zaidi ya watu 500,000. 

3) Victoria
Victoria ni mji mkuu wa Ushelisheli. Ni mji ambao Prince William wa Uingereza na mke wake walienda kupumzika baada ya harusi yao. Inasemekana walitumia zaidi ya dola 5,000 kwa usiku mmoja.

2) N’Djamena
N’Djamena ni mji mkuu wa Chad.

1) Luanda
Luanda ni mji mkuu wa Angola. Katika jiji hili, inaarifiwa kuwa kodi yake inakadiriwa kuanzia Yuro 10,000 mpaka Yuro 35,00o. Maisha sio rahisi kabisa katika jiji hili.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.