Uganda kukata uhusiano na Korea Kaskazini
Rais wa Korea
Kusini amesema nchi ya Uganda imeahidi kusitisha uhusiano wake wa
kijeshi na marafiki wake wa jadi Korea Kaskazini baada ya kuzuru mji
mkuu wa Kampala siku ya Jumapili, chombo cha habari cha AFP kimeripoti.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha vikwazo vikali kuwahi kutekelezwa kwa Korea kaskazini baada ya majaribio ya nuklia ya nne mwezi Januari.


Maoni
Chapisha Maoni