WAKALI WA HIPHOP WANAO ONGOZA KWA MKWANJA MREFU MAREKANI
Diddy ameongoza orodha hiyo mwaka huu kwa kuwa na utajiri ufikao dola milioni 750.
Nafasi ya pili imekamatwa na Dr Dre mwenye dola milioni 710 huku
Nafasi ya tatu ni Jay Z akifuatia kwa dola milioni 610.
Mwanzilishi wa Cash Money, Birdman amefuatia katika nafasi ya nne akiwa na dola milioni 110. Drake amechukua nafasi ya 50 Cent na kukamata nafasi ya tano kwa utajiri wa dola milioni 60

Maoni
Chapisha Maoni