Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Mechi za Kirafiki kabla Msimu Mpya 2016/17 England

BPL-2016-17Msimu Mpya wa 2016/17 kwa Klabu za England za Ligi Kuu utaanza kwa Mechi ya kufungua pazia ya kugombea Ngao ya Jamii kati ya Mabingwa wa England Leicester City na Mabingwa wa FA CUP Manchester United Uwanjani Wembley hapo Agosti 7.
Ligi Kuu England itaanza rasmi Agosti 13.
Kabla ya hapo Klabu zote 20 za Ligi Kuu England zitakusanya Wachezaji wao kujiandaa na Msimu Mpya na pia kucheza Mechi za Kirafiki za kujipima.
Ifuatayo ni Ratiba ya awali ya Mechi za Kirafiki kabla Msimu Mpya kuanza.
Ligi Kuu England – Mechi za Kirafiki kabla Msimu Mpya 2016/17:
Ratiba:
AFC Bournemouth
23 July v Portsmouth (Fratton Park)
29 July v Reading (Madejski Stadium)
30 July v Cardiff City (Vitality Stadium)
3 August v Valencia (Vitality Stadium)
Arsenal
28 July v AT&T All-Stars (Avaya Stadium, San Jose)
31 July v Chivas de Guadalajara (StubHub Center, LA)
5 August v Viking FK (Viking Stadion, Stavanger)
7 August v Manchester City (Ullevi stadium, Gothenburg)
Burnley
19 July v Morecambe (Globe Arena)
23 July v Bradford City (Coral Windows Stadium)
26 July v Bolton (Macron Stadium)
30 July v Rangers (Ibrox)
Chelsea
16 July v Rapid Vienna (Allianz Stadion, Vienna)
20 July v WAC RZ Pellets (Worthersee Stadion, Klagenfurt)
International Champions Cup
27 July v Liverpool (Rose Bowl, Pasadena)
30 July v Real Madrid (Michigan Stadium, Ann Arbor)
3 August v AC Milan (US Bank Stadium, Minneapolis)
Crystal Palace
13 July v Philadelphia Union (PPL Park, Philadelphia)
16 July v FC Cincinnati (Nippert Stadium, Cincinnati)
19 July v Vancouver Whitecaps FC (BC Place, Vancouver)
27 July v AFC Wimbledon (Kingsmeadow)
2 August v Bromley (Hayes Lane)
Everton
Dresden Cup
29 July v Dynamo Dresden (DDV-Stadium, Dresden)
30 July v Real Betis (DDV-Stadium, Dresden)
Wayne Rooney testimonial
3 August v Manchester United (Old Trafford)
Hull City
15 July v Grimsby Town (Blundell Park)
16 July v North Ferriby United (Eon Visual Media Stadium)
19 July v Mansfield Town (Field Mill)
23 July v Scunthorpe United (Glanford Park)
26 July v Barnsley (Oakwell)
30 July v Nottingham Forest (City Ground)
Leicester City
19 July v Oxford United (Kassam Stadium, Oxford)
International Champions Cup
23 July v Celtic (Celtic Park)
30 July v Paris St-Germain (StubHub Center, Carson, California)
3 August v Barcelona (Friends Arena, Stockholm)
Liverpool
8 July v Tranmere Rovers (Prenton Park)
13 July v Fleetwood Town (Highbury Stadium)
17 July v Wigan Athletic (DW Stadium)
20 July v Huddersfield Town (John Smith's Stadium)
1 August v Roma (Busch Stadium, St Louis)
7 August v FSV Mainz 05 (Opel Arena)
International Champions Cup
27 July v Chelsea v (Rose Bowl, Pasadena)
30 July v AC Milan (Levi's Stadium, Santa Clara)
6 August v Barcelona (Wembley)
Manchester City
20 July v Bayern Munich (Allianz Arena, Munich)
International Champions Cup
25 July v Manchester United (Bird's Nest, Beijing)
28 July v Borussia Dortmund (Shenzhen)
7 August v Arsenal (Ullevi stadium, Gothenburg)
Manchester United
International Champions Cup
22 July v Borussia Dortmund (Shanghai Stadium)
25 July v Manchester City (Bird's Nest, Beijing)
Wayne Rooney testimonial
3 August v Everton (Old Trafford)
Middlesbrough
9 July v York City (Bootham Crescent)
16 July v Doncaster Rovers (Keepmoat Stadium)
30 July v Aston Villa (Villa Park)
Stoke City
16 July v Burton Albion (Pirelli Stadium)
23 July v Preston North End (Deepdale)
27 July v Orlando City (Titan Soccer Complex, Florida)
Swansea City
13 July v Charlotte Independence (Ramblewood Stadium, North Carolina)
16 July v Richmond Kickers (City Stadium, Virginia)
23 July v Bristol Rovers (Memorial Stadium)
27 July v Swindon Town (County Ground)
30 July Wolverhampton Wanderers (Molineux)
6 August v Stade Rennais (Liberty Stadium)
Tottenham Hotspur
International Champions Cup
26 July v Juventus (Melbourne Cricket Ground)
29 July v Atletico Madrid (Melbourne Cricket Ground)
Watford
10 July v Woking (Laithwaite Community Stadium)
14 July v Stevenage (Lamex Stadium)
30 July v Queens Park Rangers (Loftus Road)
West Bromwich Albion
30 July v Plymouth Argyle (Home Park)
1 August v Torquay United (Plainmoor)
West Ham United
5 July v Seattle Sounders (CenturyLink Field, Washington)
12 July v Carolina RailHawks (WakeMed Soccer Park, North Carolina)
28 July UEFA Europa League third qualifying round first leg
4 August UEFA Europa League third qualifying round second leg
7 August v Juventus, Stadium on Queen Elizabeth Olympic Park

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.