Ruka hadi kwenye maudhui makuu

BIFU:The Rock na Vin Diesel latokea kwenye utengenezaji wa Fast 8

Wiki hii The Rock aliwashtua mashabiki wake kwa kuandika kwenye Instagram kuwa baadhi ya waigizaji wenzake wa kiume kwenye filamu ya Fast 8 wana mambo ya kipuuzi.
49026285.cached
Haikujulikana hasa alimlenga nani na sasa imebainika kuwa mbaya wake ni muigizaji mkuu wa filamu hiyo, Vin Diesel ambaye pia ni producer.
Inasemekana kuwa jitihada za kuwapatanisha wawili hao zinafanyika. Mara ya mwisho wawili hao walizichapa vikali kwenye filamu hiyo na sasa ugomvi huo umeingia kwenye maisha ya kweli, kwa mujibu wa TMZ.
Uadui huo unaweza kuwa hatari kwa filamu hiyo.
Jumatatu hii, The Rock aliandika ujumbe wa hasira kwenye Instagram akisema:
This is my final week of shooting #FastAndFurious8. There’s no other franchise that gets my blood boiling more than this one. An incredible hard working crew. UNIVERSAL has been great partners as well. My female co-stars are always amazing and I love ’em. My male co-stars however are a different story. Some conduct themselves as stand up men and true professionals, while others don’t. The ones that don’t are too chicken shit to do anything about it anyway. Candy asses. When you watch this movie next April and it seems like I’m not acting in some of these scenes and my blood is legit boiling – you’re right.
Bottom line is it’ll play great for the movie and fits this Hobbs character that’s embedded in my DNA extremely well. The producer in me is happy about this part😉. Final week on FAST 8 and I’ll finish strong.
#IcemanCometh #F8 #ZeroToleranceForCandyAsses
“The Rock’s rant about unprofessional male co-stars was targeted at Vin Diesel,” waliandika TMZ.
Tovuti hiyo imeripoti kuwa wawili hao walikuwa na mkutano wa siri Jumanne hii kujaribu kuyamaliza. Inasemekana kuwa wawili hao walikorofishana kutokana na Vin ambaye ni producer pia kuchukua maamuzi ambayo The Rock hakukubaliana nayo.
“Our sources say The Rock and Vin had a meeting on the Atlanta set mid-day Tuesday … partly because tensions were running so high it was almost impossible to shoot scenes. We do not know if they resolved their issues,” wameandika TMZ.
TMZ awali waliripoti kuwa waigizaji wengi wa filamu hiyo walichukizwa na ujumbe wa The Rock kwakuwa iliwafanya wote wakisiwe wamelengwa.
Chanzo kimoja pia kimeiambia E! News kuwa utengenezaji wa Fast 8 umekuwa mgumu hasa kwa The Rock.
“Things on set just ‘didn’t feel exactly the same’ this time around. And while Johnson ‘is the best guy on the planet to work with,’ he’s ‘also a very emotional guy’ and ‘likes things to go as he sees fit [while] also being fair,’” kilisema chanzo hicho.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.