Ruka hadi kwenye maudhui makuu

TOP 10 ya wanasoka wanaolipwa mkwanja mrefu 2016


Mtu wangu wa nguvu najua unajua kwamba mchezo wa soka ndio mchezo maarufu zaidi, kama ambavyo ulivyo maarufu na kupendwa na watu wengi ni kawaida kuona wanasoka pia wakilipwa pesa nyingi katika vilabu vyao hata katika mikataba yao ya matangazo ya kibiashara.
Leo September 6 2016 mtu wangu wa nguvu nimekutana na list ya TOP 10 ya mastaa wa soka wanaongoza kwa kulipwa mkwanja mrefu, list kutoka mtandao wa www.alux.com hadi kufikia August 2016 hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wanaoongoza kwa kulipwa mkwanja mrefu.

10. JAMES RODRIGUEZ ($21 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 45)

james-rodriguez-top-model_adpo15cd890c1rrua6un2uy88-768x461
James Rodriguez

9. CESC FABREGAS ($21 MILLION BILIONI ZAIDI YA TSH BILIONI 45)

Cesc-x-Beats-Hear-What-You-Want-1-768x575
Cesc Fabregas

8. EDEN HAZARD ($22 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 48)

hazard1-768x435
Eden Hazard

7. LUIS SUAREZ ($23 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 50)

13934991186929-768x511
Luis Suarez

6. SERGIO AGUERO ($24 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 52)

pepsiAGUERO-DC-PORTRAIT_LR-768x765
Sergio Aguero

5. WAYNE ROONEY ($26 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 56)

wayne_rooney_fc247_1_18948-768x480
Wayne Rooney

4. GARETH BALE ($34 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 74)

Gareth-Bale-on-holiday-in-Marbella-768x534
Gareth Bale

3. NEYMAR JR. ($36 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 78)

Neymar-Jr-8450_klein-768x512
Neymar Jr.

2. LIONEL MESSI ($77 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 168)

tumblr_mcauq5tifs1r38yfko1_1280-768x489
Lionel Messi

1. CRISTIANO RONALDO ($82 MILLION ZAIDI YA TSH BILIONI 179)

wx-768x497 (1)
Cristiano Ronaldo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.