Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Shambulizi la tindi kali lajeruhi London

Watu 6 wamejeruhiwa huko Stratford mashariki mwa London kwenye kile kinachotajwa kuwa shambulizi la tindi kali.
Polisi waliitwa kwenda huko Stratford kufuatia makabiliano kati ya makundi mawili ya wanaume ambapo kitu kilirushwa.
Watoa huduma za dharura waliwatibu wanaume sita katika eneo hilo na watatu kati yao wakapelekwa hospitalini.
Kijana wa kiume wa umri wa miaka 15 amekamatwa kwa kushukiwa kusababisha majeraha mabaya ya mwili.
Haki miliki ya picha
Image cap
Wale walioripotiwa kujehiwa waliaminiwa kuwa maeneo tofauti hali iliyozua kuwa watu walikuwa wamerushiwa tindi kali hiyo kiholela.
Hata hivyo polisi walisema kuwa wale waliojeruhiwa walikuwa walihusika na shambulizi la awali.
Hakuna mtu aliyepaya majeraha ya kutishia maisha au kubadilisha maisha.
Haki miliki ya picha@
Image caption
Walioshuhudia wanasema kuwa majibizano yalikuwa yamezuka kati ya kundi la watu.
Mwanamume mmoja ambaye alitajwa jina kama Hossen ambaye ni meneja wa mgahawa mmoja, alisema kwa muathiriwa akikimbia kwenda kwa mgahawa kuasha kuosha tindi kali hiyo kutoka kwa uso wake.
"Alikuwa na majeraha kwenye uso na alikuwa anajaribu kuyamwagia maji," alisema Hossen.
Haki miliki ya picha
Image caption

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House

Trump: Tajiri anayetaka kuingia White House Image copyright GETTY Image caption Trump huamini sana katika kushinda Donald Trump ni tajiri anayemiliki majumba mengi na ambaye amekuwa mtangazaji wa kipindi cha maisha ya uhalisia kwenye runinga. Amekuwa mtu anayeangazia sana ushindi katika maisha yake na anasema ni lazima afanikiwe katika kupata tuzo kuu duniani, kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Tayari ameidhinishwa na chama cha Republican kuwania urais baada ya kuwabwaga wapinzani wengine. Kwa wafuasi wake, mgombea huyu wa Urais kwa chama cha Republican ndiye anayeweza kuleta ufanisi kwa Marekani. US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama Kwao, huyu ni tajiri shupavu anayeweza kusuluhisha matatizo yote ya nchi ambayo wanahisi yameshusha hadhi ya Marekani duniani. Wengi wao ni raia wa Marekani wafanyikazi hasa wenye asili ya Kizungu na walio na maisha ya kadri. Mbaguzi na mfitini Hata hivyo kwa wakosoaji wake, wanasema huyu ni mbaguzi na mfitini, muonevu mkubwa amb...

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao

Haya ndo makundi ya Wachaga na tabia zao Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja.  Wachaga hutokea maeneo tofauti ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro na hua na tabia tofauti. Haya ni baadhi ya makundi ya wachaga na tabia zao. 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita “vishohia”.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji. 2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu. 3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchi...

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Baada ya duru la tatu la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika kwa timu 16 kushuka katika viwanja mbali mbali kuzisaka pointi tatu muhimu mabingwa wa Ligi Kuu mwaka 2000 klabu ya Mtibwa Sugar inashika msukani katika msimamo kwakuwa na alama 10. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar Katika msimamo huo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeendelea kufanya vizuri nakushika nafasi ya pili baada ya hapo jana Usiku kuifunga Lipuli FC. Klabu ya Singida United ambayo imepanda msimu huu ikiwa chini ya Mwalimu Mholanzi wa Yanga SC, Hans van der Pluijm inashika nafasi ya tatu na kuwazidi wakongwe klabu za Simba SC inayoshika nafasi ya nne na Young Africans inashika nafasi ya sita. Chati nzima ya msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.